
RADIO JAMII INAYOKUPA HABARI ZA UKWELI NA UHAKIKA.
TBC Arusha ni Radio Jamii inayohudumia mikoa ya Kanda ya Kaskazini kwa maana ya mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha, na Manyara. Makao makuu yake yako Arusha, Tanzania. Radio hii imejikita hasa katika kuwainua jamii ya wafugaji, wakulima, lakini pia inakupasha habari mbalimbali za ndani na nje ya nchi, pamoja na michezo, na kukupatia burudani safi na nzuri.
NI KIPINDI GANI KINAKUBAMBA KATI YA HIVI MDAU WETU WA NGUVU WA TBC?